Ainsi ceux qui nient les prodiges d’Allah se détourent-ils [du chemin droit].
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Kama mlivyoikanusha haki, enyi makafiri wa Kikureshi, na mkaipa mgongo na mkaenda kwenye ubatilifu, hivyo ndivyo wanavyopotoshwa na haki na kuiamini wale waliokuwa wakizikanusha hoja za Mwenyezi Mungu na dalili Zake.