Mais leur croyance, au moment où ils eurent constaté Notre rigueur, ne leur profita point ; Telle est la règle d’Allah envers Ses serviteurs dans le passé. Et c’est là que les mécréants se trouvèrent perdants.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Imani yao hiyo haikuwa ni yenye kuwanufaisha walipoiona adhabu yetu, kwa kuwa ni imani ambayo hawakuwa na budi nayo, na si Imani ya hiyari na kutaka. Huo ndio mpango na njia Aliyoiweka kwa ummah wote, kwamba Imani isiwanufaishe wanapoiona adhabu. Na itakapokuja adhabu ya Mwenyezi Mungu, wataangamia wenye kumkanusha Mola wao, wenye kukataa kumpwekesha na kumtii.