Voici deux clans adverses qui disputaient au sujet de leur Seigneur. À ceux qui ont mécru, on taillera des vêtements de feu, tandis que sur leurs têtes on versera de l’eau bouillante.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Haya ni mapote mawili ya watu, wametafautiana kuhusu Mola wao: watu wa Imani na watu wa ukafiri, kila mmoja anadai kuwa yeye yuko kwenye usawa. Wale waliokufuru watazungukwa na adhabu yenye sura ya nguo za Moto walizopatiwa wazivae, zitaichoma miili yao na yatamiminwa juu ya vichwa vyao maji yaliyofikia upeo wa ukali,