À combien de cités n’ai-Je pas donné répit alors qu’elles commettaient des tyrannies ? Ensuite, Je les ai saisies. Et vers Moi est le devenir.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Kuna miji mingi ilikuwa kwenye udhalimu, kwa ukakamavu wa watu wake juu ya ukafiri, nikawapa muda , na sikuwaharakishia adhabu na kwa hivyo wakaghurika, kisha nikawachukuwa kwa kuwaadhibu katika hii dunia, na ni kwangu ndio marejeo yao baada ya kuangamia kwao nitawapa adhabu wanayostahili