Et c’est Lui qui vous donne la vie puis vous donne la mort, puis vous fait revivre. Vraiment l’homme est très ingrat.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na Yeye Ndiye Mwenyezi Mungu Aliyewapa uhai kwa kuwafanya mupatikane kutoka kwenye hali ya kutokuwako, kisha Atawafisha umri wenu ukomapo, kisha Atawahuisha kwa kuwafufua ili Awahesabu kwa matendo yenu. Hakika mwanadamu ni mwingi wa kukataa alama zenye kuonyesha uweza wa Mwenyezi Mungu na upweke Wake.