Allah jugera entre vous, au Jour de la Résurrection, ce en quoi vous divergez."
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Mwenyezi Mungu Atahukumu kati ya Waislamu na makafiri Siku Ya Kiyama katika tafauti zao kuhusu dini. Katika aya hii pana adabu nzuri ya kuwarudi wanaofanya mjadala kwa njia ya ujeuri na kiburi.