Nous les fîmes suivre, dans cette vie ici-bas, d’une malédiction. Et au Jour de la Résurrection, ils seront parmi les honnis.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na tukamfuatilizia Fir’awn na watu wake laana na hasira kutoka kwetu juu yao. Na Siku ya Kiyama, wao watakuwa ni miongoni mwa wale ambao matendo yao yalikuwa yamechafuka, wale watakaowekwa mbali na rehema ya Mwenyezi Mungu.