Se connecter
Se connecter
Se connecter
Sélectionner la langue

Tafsir: At-Tawbah 9:27

9:27
ثم يتوب الله من بعد ذالك على من يشاء والله غفور رحيم ٢٧
ثُمَّ يَتُوبُ ٱللَّهُ مِنۢ بَعْدِ ذَٰلِكَ عَلَىٰ مَن يَشَآءُ ۗ وَٱللَّهُ غَفُورٌۭ رَّحِيمٌۭ ٢٧
ثُمَّ
يَتُوبُ
ٱللَّهُ
مِنۢ
بَعۡدِ
ذَٰلِكَ
عَلَىٰ
مَن
يَشَآءُۗ
وَٱللَّهُ
غَفُورٞ
رَّحِيمٞ
٢٧
Après cela Allah, accueillera le repentir de qui Il veut, car Allah est Pardonneur et Miséricordieux.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na atakayerudi nyuma akaacha ukafiri wake baada ya hilo, na akaingia kwenye Uislamu, basi Mwenyezi Mungu Anaikubali toba ya Anayemtaka katika wao na Anamsamehe dhambi zake. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa kusamehe, ni mwingi wa kurehemu.