et ceux qui unissent ce qu’Allah a commandé d’unir, redoutent leur Seigneur et craignent une malheureuse reddition de compte, 1
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Nao ndio ambao wanawaunga wale ambao Mwenyezi Mungu Amewaamrisha wawaunge kama jamaa wa karibu na wahitaji, wanamtunza Mola wao na wanaogopa Asiwahesabu kwa madhambi yao yote na Asiwasamehe chochote katika hayo.