ceux qui ont cru, et dont les cœurs se tranquillisent à l'évocation d'Allah." N'est ce point par l'évocation d'Allah que se tranquillisent les cœurs ?
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na Anawaongoza wale ambao nyoyo zao zimetulia kwa kumpwekesha Mwenyezi Mungu na kumtaja zikapata utulivu. Jua utanabahi kwamba kumtii Mwenyezi Mungu, kumtaja na malipo mema kutoka Kwake yanafanya nyoyo zitulie na zipumbae.