Un châtiment les atteindra dans la vie présente. Et le châtiment de l’au-delà sera cependant plus écrasant et ils n’auront nul protecteur contre Allah.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Makafiri hawa wenye kuzuia njia ya Mwenyezi Mungu watakuwa na adhabu ngumu katika maisha ya ulimwenguni kwa kuuawa, kutekwa na kuhiziwa. Na kwa hakika, adhabu yao huko Akhera ni nzito zaidi na ni kali zaidi, na hawatakuwa na kizuizi chenye kuwazuia wasipate adhabu ya Mwenyezi mungu.