Et par miséricorde, abaisse pour eux l’aile de l’humilité et dis : “Seigneur ! Fais-leur, à tous deux, miséricorde comme ils m’ont élevé tout petit !”
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na uwe, kwa mamako na babako, mdhalilifu na mnyenyekevu kwa kuwahurumia, na umuombe Mola wako awarehemu kwa rehema Zake kunjufu wakiwa hai na wakiwa wamekufa, kama walivyovumilia juu ya kukulea ulipokuwa mdogo usiokuwa na uwezo wala nguvu.