Et endure ce qu’ils disent; et écarte-toi d’eux d’une façon convenable.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na uvumilie kwa yale ambayo washirikina wanayasema kuhusu wewe na kuhusu Dini yako. Na uende kinyume na wao katika maneno yao ya ubatilifu pamoja na kuwapuuza na kuacha kuwalipiza.