Ceux qui ont cru et n’ont point entaché leur foi par quel qu’inéquité (association), ceux-là ont la sécurité; et ce sont eux les bien-guidés."
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Wale waliomuamini Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na wakafuata sheria Yake kivitendo, na wasichanganye imani yao na ushirikina, wao ndio wenye utulivu na usalama na wao ndio walioongozwa kwenye njia ya haki.