Et quand les hypocrites et ceux qui ont la maladie [le doute] au cœur disaient: "Allah et Son messager ne nous ont promis que tromperie".
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na pindi waliposema wanafiki na wale ambao ndani ya nyoyo zao mna shaka, nao ni wale madhaifu wa Imani, «Ahadi ya Mwenyezi Mungu Aliyotuahidi ya kupata ushindi na utulivu, haikuwa isipokuwa ni maneno ya urongo na udanganyifu, basi msimuamini.»