Se connecter
Se connecter
Se connecter
Sélectionner la langue

Tafsir: Al-Ahzab 33:46

33:46
وداعيا الى الله باذنه وسراجا منيرا ٤٦
وَدَاعِيًا إِلَى ٱللَّهِ بِإِذْنِهِۦ وَسِرَاجًۭا مُّنِيرًۭا ٤٦
وَدَاعِيًا
إِلَى
ٱللَّهِ
بِإِذۡنِهِۦ
وَسِرَاجٗا
مُّنِيرٗا
٤٦
appelant (les gens) à Allah, par Sa permission ; et comme une lampe éclairante.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na uwe ni mlinganizi kwenye kumpwekesha Mwenyezi Mungu na kumuabudu Yeye Peke Yake, na uwe ni taa yenye kung’ara kwa anayetaka kupata mwangaza kwako. Kwani jambo lako la haki ambalo umekuja nalo liko wazi kama vile jua katika kuchomoza na kutoa mwangaza, hakuna mwenye kulikanusha isipokuwa mshindani.