Ce sont des maudits. Où qu’on les trouve, ils seront pris et tués impitoyablement:
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Hali ya kuwa wamefukuzwa kwenye rehema ya Mwenyezi Mungu; mahali popote watakapopatikana watekwe na wawe ni wenye kuuawa muda wa kuendelea kwao katika unafiki na kueneza habari za urongo baina ya Waislamu kwa lengo la kuleta fitina na uharibifu.