Mais ils se sont divisés en sectes, chaque secte exultant ce qu’elle détenait.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na wafuasi walipambanukana katika dini wakawa makundi na mapote, wakaifanya dini yao kuwa dini nyingi baada ya kuamrishwa wajikusanye pamoja. Kila kundi linajigamba kwa maoni yake, linadai kuwa kundi hilo liko kwenye haki na lingine liko kwenye batili. Katika haya pana onyo la kujiweka kwenye makundi na kupambanukana katika Dini.