Mes versets vous étaient récités auparavant ; mais vous vous [en] détourniez,
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
«Zilikuwa aya za Qur’ani zikisomwa kwenu, ili mupate kuziamini, na mlikuwa mnazikimbia hamtaki kuzisikia na kuzikubali na kuzitumia, kama anavyofanya mwenye kurudi nyuma kwa kule kurudi kwake nyuma.