Et furent rassemblées pour Salomon, ses armées de djinns, d’hommes et d’oiseaux, et ils furent placées en rangs.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na akakusanyiwa Sulaymān askari wake miongoni mwa majini, binadamu na ndege katika matembezi yao. Na wao, pamoja na wingi wao, hawakua wamepuuzwa, bali palikuwa, juu ya kila jinsi, mwenye kuwasimamia wa mwanzo wao kwa wa mwisho wao ili wasimame wote wakiwa wamejipanga.