ceux qui accomplissent la prière (As-Salât), acquittent l’aumône (Az-Zakât) et croient avec certitude en l’au-delà.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Ambao wanasimamisha Swala tano zilizotimia nguzo, zilizokamilika masharti, na wanatekeleza Zaka za lazima kwa wanaostahiki kupewa, na wao wanaamini kwa yakini maisha ya Akhera na yaliyomo ndani yake ya malipo mema na mateso.