Un djinn redoutable dit : "Je te l’apporterai avant que tu ne te lèves de ta place: pour cela, je suis fort et digne de confiance."
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Akasema afriti wa kijini mwenye nguvu na ukali, «Mimi nitakuletea kabla hujainuka kutoka kwenye kikao chako hiki unachokaa kuhukumu baina ya watu. Na mimi ni mwenye nguvu na uwezo wa kukibeba, ni muaminifu wa kuvitunza vilivyomo ndani yake, nitakuja nacho kama kilivyo, sikipunguzi kitu chake chochote wala sikigeuzi.»