Nous le sauvâmes ainsi que sa famille, excepté sa femme pour qui Nous avions déterminé qu’elle serait du nombre des exterminés.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Tukamuokoa Lūṭ na watu wake waliomfuata na adhabu ambayo itawashukia watu wa Lūṭ waliomkanusha, isipokuwa mkewe tuliomkadria kuwa ni mwenye kusalia kwenye adhabu mpaka aangamie pamoja na wenye kuangamia, kwa kuwa yeye alikuwa ni msaidizi wa watu wake kwa matendo yao mabaya na alikua akiridhika nayo.