N’est-ce pas Lui qui commence la création, puis la refait, et qui vous nourrit du ciel et de la Terre. Y a-t-il donc une divinité avec Allah ? Dis : "Apportez votre preuve, si vous êtes véridiques !"
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na waulize wao: Ni nani anayeanzisha kuumba viumbe, kisha anaviondosha akitaka, kisha anavirudisha? Na ni nani anayewaruzuku nyinyi kutoka mbinguni kwa kuiteremsha mvua? Na ni nani anayehuisha ardhi kwa kuotesha mimea na vinginevyo? Je, kuna muabudiwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu anafanya hayo? Sema, Leteni hoja yenu iwapo nyinyi ni wakweli katika madai yenu kwamba Mwenyezi Mungu Ana mshirika katika mamlaka Yake na ibada Yake.»