N’ont-ils pas vu qu’en vérité, Nous avons désigné la nuit pour qu’ils y aient du repos, et le jour pour voir ? Voilà bien des preuves pour des gens qui croient.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Je, hawakuona hawa wakanushaji wa aya zetu kwamba sisi tumeufanya usiku ni kipindi cha wao kutulia ndani yake na kulala, na mchana ni kipindi cha wao kuona ili waende kutafuta maisha yao? Hakika katika kuvipelekesha hivyo viwili kuna ushahidi kwa watu wanaoamini ukamilifu wa uweza wa Mwenyezi Mungu, upweke Wake na ukubwa wa neema Zake.