afin qu’Allah leur efface les pires de leurs actions et les récompense selon ce qu’ils auront fait de meilleur.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Ili Mwenyezi Mungu Awafutie yale maovu zaidi ya matendo waliyoyafanya ulimwenguni kwa sababu ya kile walichokifanya cha kurudi kwa Mwenyezi Mungu kwa kutubia makosa waliyoyatenda huko, na ili Mwenyezi Mungu Awalipe mema, kwa utiifu wao ulimwenguni, malipo mazuri zaidi ya matendo ambayo walikuwa wakiyafanya, nayo ni Pepo,