Si Allah avait voulu S’attribuer un enfant, Il aurait certes choisi ce qu’Il eût voulu parmi ce qu’Il crée. Gloire à Lui ! C’est Lui Allah, l’Unique, le Dominateur Suprême.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Lau Angalitaka Mwenyezi Mungu kuwa na mtoto, Angalichagua, miongoni mwa viumbe Vyake, Anachotaka. Ameepukana Mwenyezi Mungu na kutakasika na kuwa na mtoto! Hakika Yeye ni Mmoja Aliye Pekee na kupwekeka, Mwenye kutegemewa kwa kila haja, Mwenye kutendesha nguvu ambaye Amewalazimisha viumbe kwa uweza Wake, basi kila kitu kinamdhalilikia Yeye na kumnyenyekea.