avant qu’une âme ne dise : "Malheur à moi pour mes manquements envers Allah. Car j’ai été certes, parmi les railleurs" ;
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
«Na mtiini Mola wenu na tubieni Kwake ili isije nafsi ikajuta na ikasema, ‘Ee hasara yangu kwa matendo mema niliyoyapoteza ulimwenguni katika yale Aliyoamrisha Mwenyezi Mungu na nikafanya kasoro katika kumtii na kutekeleza haki Yake,! Na ingawa ulimwenguni nilikuwa ni miongoni mwa waliokuwa wakiifanyia shere amri ya Mwenyezi Mungu, Kitabu Chake, Mtume Wake na waliomuamini.’