Il détient les clefs des cieux et de la terre; et ceux qui ne croient pas aux versets d’Allah, ce sont ceux-là les perdants.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Ni za Mwenyezi Mungu funguo za hazina za mbinguni na ardhini, Anatoa kutoka kwenye hazina hizo kuwapa viumbe Vyake namna Anavyotaka. Na wale waliozikanusha aya za Qur’ani na dalili wazi zilizomo, hao ndio wenye kupata hasara ulimwenguni kwa kutoafikiwa kuamini, na kesho Akhera kwa kukaa milele Motoni.