[L’échéance] du règlement de leur compte approche pour les hommes, alors que dans leur insouciance ils s’en détournent.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Umekaribia wakati wa kuhesabiwa watu juu ya matendo waliyoyatanguliza, pamoja na hivyo, makafiri wanaishi wakiwa kwenye hali ya kupumbaa, wameghafilika na uhakika huu, wakiwa kwenye hali ya kulipa mgongo onyo hili.