Pas une seule cité parmi celles que Nous avons fait périr avant eux n’avait cru [à la vue des miracles]. Ceux-ci croiront-ils donc ?
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Hakuna mji wowote ulioamini kabala ya makafiri wa Makkah ambao watu wake walitaka miujiza kutoka kwa Mtume wao na ikatokea kweli, bali walikanusha na tukawaangamiza. Basi je, makafiri wa Makkah wataamini iwapo itakuwa miujiza waliyoitaka? Sivyo, wao hawataamini.