Ils se sont divisés en sectes. Mais tous, retourneront à Nous.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Lakini watu walitafautiana juu ya Mitume wao, na wengi wa wafauasi wao katika dini walipambanukana wakawa ni makundi na mapote, wakaabudu viumbe na matamanio. Na wote hao ni wenye kurejea kwetu na ni wenye kuhesabiwa juu ya yale waliyoyafanya.