Il est plutôt venu avec la vérité et il a confirmé les messagers (précédents),
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Wamesema urongo! Muhammad sivyo vile walivyomueleza. Bali amekuja na Qur’ani na upwekeshaji Mwenyezi Mungu, na akathibitisha ukweli wa Mitume katika kile walichokitolea habari kuhusu sheria ya Mwenyezi Mungu na kumpwekesha Yeye.