Et ils n’auront point d’intercesseurs parmi ceux qu’ils associaient [à Allah] et ils renieront même leurs divinités.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na washirikina , Siku hiyo, hawatokuwa na waombezi kati ya waungu wao waliokuwa wakiwaabudu badala ya Mwenyezi Mungu, bali wao, hao waungu, watajiepusha nao na wao watajiepusha nao. Maombezi ni ya Mwenyezi Mungu Peke Yake, na hayatafutwi kutoka kwa mwingine.