Et le jour où l’Heure arrivera, les criminels jureront qu’ils n’ont demeuré qu’une heure. C’est ainsi qu’ils ont été détournés (de la vérité);
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na siku kitakapokuja Kiyama na Atakapo Mwenyezi Mungu kuwafufua viumbe kutoka makaburini mwao, wataapa washirikina kwamba hawakukaa duniani isipokuwa kipindi kifupi cha wakati. Watasema urongo katika kiapo chao kama walivyokuwa wakisema urongo duniani na wakiikataa haki ambayo Mitume walikuja nayo.