qui n’acquittent pas l'aumône (Az-Zakât) et ne croient pas en l’au-delà !
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Wale wasiojisafisha nafsi zao kwa kumpwekesha Mola wao na kumtakasa, na wasiotoa Zaka kuwapa wanaostahiki, basi hao hawamtakasii Muumba wala hawanufaishi viumbe; na wao hawaamini Ufufuzi wala Pepo na Moto.