ils sont semblables au Diable quand il dit à l’homme : "Sois incrédule.. Puis quand il a mécru, il dit : "Je te désavoue car je redoute Allah, le Seigneur de l’Univers."
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na mfano wa hawa wanafiki katika kule kuwashawishi Mayahudi wapigane na kuwaahidi kuwa watawatetea dhidi ya Mtume wa Mwenyezi Mungu, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, ni kama mfano wa Shetani alipompambia binadamu na kumlingania kwenye ukafiri, na alipokufuru alisema, «Mimi nimejiepusha na wewe; mimi namuogopa Mwenyezi Mungu Mola wa viumbe wote.»