et disaient : "Quand nous mourrons et serons poussière et ossements, serons-nous ressuscités ?
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na walikuwa wakisema hali ya kukanusha Ufufuzi, «Je hivi sisi tutafufuliwa tutakapokufa na tukawa mchanga na mifupa iliyochakaa?» Maneno yao hayo yanaonesha kuwa wao walikuwa wakiliona jambo hili la kufufuliwa kuwa liko mbali na ukweli na wakilikanusha.