qui accomplissent la Ṣalāt, acquittent l'aumône (Az-Zakât) et qui croient avec certitude en l’au-delà.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Wanaotekeleza Swala kikamilifu kwa nyakati zake na wanaotoa Zaka zilizo lazima juu yao kwa wanaostahiki kupewa. Na hali wao wana yakini kuwa kuna kufufuliwa na kulipwa Akhera.