Ce sont ceux-là qu’Allah a maudits, a rendus sourds et a rendu leurs yeux aveugles.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Hao ndio wale ambao Mwenyezi Mungu Amewaepusha na rehema Yake Akawafanya wasiyasikie yanayowanufaisha wala wasiyaone na zisiwafunukie hoja za Mwenyezi Mungu pamoja na kuwa ni nyingi.