Les magiciens se jetèrent prosternés, disant : “Nous avons foi au Seigneur d’Aaron et de Moïse !”
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Hapo Mūsā aliirusha fimbo yake, ikavimeza walivyovifanya, haki ikajitokeza na hoja ikasimama juu yao. Hapo wachawi walijitupa chini wakiwa katika hali ya kusujudu na wakasema, «Tumemuamini Mola wa Hārūn na Mūsā. Lau huu ulikuwa ni uchawi hatungalishindwa.»