Quiconque vient en criminel à son Seigneur, aura certes l’Enfer où ni il ne meurt ni il ne vit.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Ukweli wa mambo ni kwamba mwenye kumjia Mola wake hali ya kuwa amemkanusha, basi atapata moto wa Jahanamu atakaoteswa nao; hatakufa humo akapumzika wala hataishi maisha ambayo atayafurahia.