Et du bout de la ville, un homme vint en toute hâte et il dit : "Ô mon peuple ! Suivez les Messagers :
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Na akaja mtu kwa haraka kutoka mahali mbali mjini (Napo ni pale ilipojulikana kwamba watu wa kijiji wameazimia kuwaua wajumbe au kuwaadhibu) akasema, «Enyi watu wangu! Wafuateni wajumbe mlioletewa kutoka kwa Mwenyezi Mungu.