... en raison de quoi mon Seigneur m’a pardonné et mis au nombre des honorés."
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Akasema na yeye akiwa kwenye starehe na heshima, «Natamani watu wangu wangalijua vile Mola wangu Alivyonisamehe na kunikirimu kwa sababu ya kumuamini kwangu Mwenyezi Mungu na kusubiri kwangu juu ya kumtii Yeye na kuwafuata Mitume Wake mpaka nikauawa, ili nao wamuamini Mwenyezi Mungu na waingie Peponi kama mimi.»