Ils ne pourront donc ni faire de testament, ni retourner chez leurs familles.
Tafsirs
Niveaux
Leçons
Réflexions
Réponses
Qiraat
Hadith
Hawataweza hawa washirikina wakati wa kuvuviwa barugumu kumuusia yoyote kitu chochote, wala hawataweza kurejea kwa watu wao, bali watakufa wakiwa kwenye masoko yao na pale walipo.