to Pharaoh, Hamân, and Korah. But they responded: “Magician! Total liar!”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Apate kuenda kwa Fir'awn, mfalme wa Misri, na Hāmān waziri wake, na Qārūn mwenye mali mengi na mahazina ya vitu vya thamani, wakaukanusha utume wake na wakafanya kiburi na wakamwambia, «Yeye ni mchawi mrongo sana, basi ni vipi anadai kuwa yeye ametumilizwa kwa watu kuwa ni Mtume?»