the Day the wrongdoers’ excuses will be of no benefit to them. They will be condemned, and will have the worst outcome.1
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Siku ya kuhesabiwa, hawatanufaika makafiri waliokiuka mipaka ya Mwenyezi Mungu kwa zile nyudhuru wanazozitoa za kuwakanusha Mitume wa Mwenyezi Mungu. Watakalolipata ni kufukuzwa kwenye rehema ya Mwenyezi Mungu, na watakuwa na Nyumba mbaya huko Akhera, nayo ni Moto.