The creation of the heavens and the earth is certainly greater than the re-creation of humankind, but most people do not know.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hakika ni kwamba uumbaji wa Mwenyezi Mungu wa mbingu na ardhi ni mkubwa zaidi kuliko kuwaumba watu na kuwarudisha uhai baada ya kufa, lakini wengi wa watu hawajui kwamba uumbaji wa vyote hivyo ni jambo sahali kwa Mwenyezi Mungu.