except those who patiently endure and do good. It is they who will have forgiveness and a mighty reward.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Lakini wale waliosubiri juu ya yaliyowapata ya shida kwa kumuamini Mwenyezi Mungu na kutaka malipo kutoka Kwake, wakafanya mema kwa kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa neema Zake, wao watakuwa na msamaha wa dhambi zao na malipo makubwa Akhera.