Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Hud 11:121

11:121
وقل للذين لا يومنون اعملوا على مكانتكم انا عاملون ١٢١
وَقُل لِّلَّذِينَ لَا يُؤْمِنُونَ ٱعْمَلُوا۟ عَلَىٰ مَكَانَتِكُمْ إِنَّا عَـٰمِلُونَ ١٢١
وَقُل
لِّلَّذِينَ
لَا
يُؤۡمِنُونَ
ٱعۡمَلُواْ
عَلَىٰ
مَكَانَتِكُمۡ
إِنَّا
عَٰمِلُونَ
١٢١
Say to those who disbelieve, “Persist in your ways; we will certainly persist in ours.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Waambie, ewe Mtume, makafiri wasiokubali upweke wa Mwenyezi Mungu, «Fanyeni mnayoyafanya kwa namna yenu na mbinu zenu za kuupinga Ulinganizi na kumkera Mtume na wale waliomuitika, kwani sisi ni wenye kufanya kwa namna yetu mbinu zetu za kusimama imara juu ya Dini yetu na kutekeleza amri ya Mwenyezi Mungu.